Gari ya petrol imeanza kuwa na tatizo wakati wa kuliwasha. Ninapoliwasha haliwaki mpaka nikanyage mafuta ndio linawaka lakini nikitoa mguu kwenye mafuta linazima haraka sana.
Naomba ushauri maana mafundi wetu wa mtaani wanaweza sema nibadili engine.
Gari ya petrol imeanza kuwa na tatizo wakati wa kuliwasha. Ninapoliwasha haliwaki mpaka nikanyage mafuta ndio linawaka lakini nikitoa mguu kwenye mafuta linazima haraka sana.
Naomba ushauri maana mafundi wetu wa mtaani wanaweza sema nibadili engine.