Wadau habari, poleni na majukumu ya kazi na pia hongereni kwa kutoa elimu yenye ueledi juu ya masuala mbalimbali. Ninaleta mada kama ilivyotajwa hapo juu nikiamini nitapata majibu stahiki kwani jamii forum hasg jukwaa hili limesheheni watu wenye ujuzi na taaluma pia waliobobea katika nyanja mbalimbali.
Naombeni msaada wa michango yenu ya mawazo/hoja juu ya kilimo cha matikitimaji,mbali na mimi mwenyewe kuwa mkulima lakini huwa nalima kienyeji. Niko kwenye mchakato wa kulima aina hii ya matunda april 2016 ambapo utakuwa ni msimu wangu wa 8 lakini nataka kulima kitaalamu msimu ujao, sasa niko kwenye hatua za kati za kufanya tathmini za kiasi gani na gharama gani ya mbolea,viuatilifu(pesticides),mbegu pamoja na gharama zingine za uendeshaji.
Hivyo basi baada ya maelezo hayo hapo juu napenda kufahamu vitu vifuatavyo; 1.(a) katika eneo la ekari 1 ni kiasi gani cha lita za booster zinahitajika?
(inaendelelea hapa chini)
Naombeni msaada wa michango yenu ya mawazo/hoja juu ya kilimo cha matikitimaji,mbali na mimi mwenyewe kuwa mkulima lakini huwa nalima kienyeji. Niko kwenye mchakato wa kulima aina hii ya matunda april 2016 ambapo utakuwa ni msimu wangu wa 8 lakini nataka kulima kitaalamu msimu ujao, sasa niko kwenye hatua za kati za kufanya tathmini za kiasi gani na gharama gani ya mbolea,viuatilifu(pesticides),mbegu pamoja na gharama zingine za uendeshaji.
Hivyo basi baada ya maelezo hayo hapo juu napenda kufahamu vitu vifuatavyo; 1.(a) katika eneo la ekari 1 ni kiasi gani cha lita za booster zinahitajika?
(inaendelelea hapa chini)