Msaada wataalamu wa magari

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Wakuu mm nina pesa zangu za Madafu kama ML 4 hivi natafuta gari ambayo inauwezo wa kutembea umbali mrefu.

Sina uzoefu na magari.
NB. Hataikifika ML 5 sawa tu
 
Wakuu mm nina pesa zangu za Madafu kama ML 4 hivi natafuta gari ambayo inauwezo wa kutembea umbali mrefu.

Sina uzoefu na magari.
NB. Hataikifika ML 5 sawa tu
Utapata ila ambatana na fundi kufanya pre check.
Hata 3.5 ...3....2.8...yapooo
 
Tafuta Suzuki Swift unaweza kupata kwa mtu na sio shawroom
 
Sasa kwani ni lazima na ww umiliki gari mkuu, kwa mfuko wako utapata gari li mtori uje ujute. Kwann usinunue hata boxer na chenji inabaki.
 
Daaaaah sasa Raum kwa mtu nitapata kwa sh ngapi?
 
Nicheck whatsapp
0759007829
Nitumiee na hiyo picha ya vitis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…