ngoja kina Malila waje na mimi ninufaike
Wadau hasa wale wenye idea na water pump kwa ajili ya kilimo cha umuagiliaji wa kawaida,naombeni msaada wenu juu ya hizi water pump,hasa kuhusu bei,aina na uimara wake!hitaji langu kubwa kwa pump hizi ni kwa ajili ya kilimo cha bustani kama vile nyanya,pilipili mbuzi,carrot,nyanya chungu,pili pili hoho na vitunguu kama kuna uwezekano!nimeona kuna machine za kichina mpaka za 280,000/= lakini kwa kua sina uzoefu nikaona bora nije kwenu mnifungue macho!eneo nalotaka kulima ni la heka tatu,na umbali wa shamba mpaka mto ulipo ni kama mita 220 hivi!Natanguliza shukrani zangu!
Hebu tembelea thread hii hapa chini ili upate mwanga kidogo kuhusu pump za umwagiliaji...
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/387118-pump-za-maji-kwa-ajili-ya-umwagiliaji.html
Uko wapi mkuu,kama upo Dar au jirani na hapa jaribu kutembelea duka la autosokoni lipo mtaa wa India utapata pump yenye uwezo,uliyotaja hapo ni ndogo mno.unatakiwa upate pump yenye uwezo ili: (1)uitumie mda mrefu (2)Unakuwa na uwezekano kuongeza ekari bila kubadili pump.Wadau hasa wale wenye idea na water pump kwa ajili ya kilimo cha umuagiliaji wa kawaida,naombeni msaada wenu juu ya hizi water pump,hasa kuhusu bei,aina na uimara wake!hitaji langu kubwa kwa pump hizi ni kwa ajili ya kilimo cha bustani kama vile nyanya,pilipili mbuzi,carrot,nyanya chungu,pili pili hoho na vitunguu kama kuna uwezekano!nimeona kuna machine za kichina mpaka za 280,000/= lakini kwa kua sina uzoefu nikaona bora nije kwenu mnifungue macho!eneo nalotaka kulima ni la heka tatu,na umbali wa shamba mpaka mto ulipo ni kama mita 220 hivi!Natanguliza shukrani zangu!