Jamani nina jamaa yangu ambaye yuko Marekani,anataka tufanye naye biashara ya vitu "used" na kwa kuanza tunataka tuanze na tv flat=20,machine za photocopy=8,laptop=15,camera=10,saa za mkoni=100,viatu jordan+air max jozi 100 na simu kama samsung,lg,sony,iphone zitakuwa100.Kwa vitu kama hivyo hapo nahtajika kulipa ushuru?kama ndio vitanigharimu shilingi ngap?.Mimi nahitajika kulipia gharama za kusafirisha mzigo na kodi.Nisaidieni waungwana kwa wale wenye uzoefu na biashara hizi au mnaojua na mimi nijaribu kuutokomeza umasikini.Naweka hoja mezani