Msaada waungwana

Chachii

Member
Joined
Nov 28, 2011
Posts
91
Reaction score
10
Mama yangu anasumbuliwa na mguu, tulivompeleka hosipitali akafanyiwa x-ray na kuambiwa disc ya pingili za mgongo imesogea, wakampa dawa ila bado tatizo halijaisha kama kuna anayejua tiba yake anisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…