vibatar
Member
- Mar 16, 2014
- 57
- 16
Habari wana JF.
Msaada jamani ni biashara gani ambayo naweza kufanya nikaweza kuendesha life ikiwa nimepanga na mke na mtoto mmoja na nina msingi wa milioni mbili maana nawaza mapaka napagawa.
Asanteni! Naitaji ushauri wenu kwani hii milioni mbili nikama jicho kwangu na kama nikipoteza sijui itakuwaje kwani sina msaada wowote!
Asanteni.
Msaada jamani ni biashara gani ambayo naweza kufanya nikaweza kuendesha life ikiwa nimepanga na mke na mtoto mmoja na nina msingi wa milioni mbili maana nawaza mapaka napagawa.
Asanteni! Naitaji ushauri wenu kwani hii milioni mbili nikama jicho kwangu na kama nikipoteza sijui itakuwaje kwani sina msaada wowote!
Asanteni.