inatosha kwa kuanzia lkn ni bora ukawa na shughuri ingine kwa ajili ya mambo ya kifamilia lkn ni tuambie yafuatayo, unaishi wapi ? ni mjini au kijijini? kwa sasa unafanya shughuri gani? hiyo 2m umeipataje? unaweza jibu hapa au pm
haaaaa! kweli lkn lengo ni kutaka kujua ili iwe rahisi kumsaidia ndiyo maana nikamwambia anaweza pm au atakavyoona inafaa . nilitaka kuanza kumshauri kwa kuangalia aliwezaje kupata hiyo pesa pengine tunaweza boresha njia hiyo hiyo na akapata pesa zaidi.Mkuu umemuuliza maswali mazuri isipokua hilo alikopata hela naona kama is too confidential by the way ataamua ajibu au apotezee.
haaaaa! kweli lkn lengo ni kutaka kujua ili iwe rahisi kumsaidia ndiyo maana nikamwambia anaweza pm au atakavyoona inafaa . nilitaka kuanza kumshauri kwa kuangalia aliwezaje kupata hiyo pesa pengine tunaweza boresha njia hiyo hiyo na akapata pesa zaidi.
na mara nyingi watu hufanikiwa kutokana na kufanya kazi walizo na uzoefu nazo . hicho ndicho kikanifanya kuuliza swali hilo
inatosha kwa kuanzia lkn ni bora ukawa na shughuri ingine kwa ajili ya mambo ya kifamilia lkn ni tuambie yafuatayo, unaishi wapi ? ni mjini au kijijini? kwa sasa unafanya shughuri gani? hiyo 2m umeipataje? unaweza jibu hapa au pm
Niliposoma mada nikasema nipitie ndani kuona waungwana wanamsaidiaje ndugu yetu alietueleza ni jinsi gani ana kiu ya kujiinua kutoka katika maisha fulani kuelekea mengine ila cha kushangaza watu naona wameanza zunguka sana kama vile wanataka mpa utaalamu ambao haupatikani popote zaidi ya kwenye akili zao tu. Okay nisiongee sana. Mkuu wazo zuri la biashara ni pale unapoangalia kwanza wewe unaweza fanya nini ktk jamii, unapenda nini, mtaani kwako kitu gani hakuna ambacho unaweza fanyia kama fursa ya kuanzisha kitu ambacho kitauzika na kuzalisha fedha yako, pia waweza fungua SimBanking kwa kuwa nimejaribu fuatilia line za uwakala TIGO kwenye laki 6 hivi, Airtel hadi laki na nusu au 2 na Mpesa pia 150 au 200. So kaa chini jifikirie wewe kitu gani waweza fanya then lete hapa watu wakusaidie zaidi ya hapo watu watakuzungusha kwa maswali yao ya kitaalamu na wasikupe chochote au pitia UZI wa ndugu yetu Chasha kama sikosei utaweza jifunza mengi. Asante.
Mkuu jaribu kuangalia katika sehemu unayoishi kuna mahitaji gani, kwa pesa hiyo ni vizuri ukapata vitu vinavyozunguka haraka haraka wala havili mtaji mkubwa;
Kwahio unaweza ukazunguka hapo mtaani au kwenye migahawa n.k. na kuuliza unaweza ukawa-supply nini iwe matunda, mazao hata mifugo. Ukishapata Order unaweza ukaenda sehemu vinavyopatikana hivyo vitu kwa bei rahisi. Kumbuka pia sometimes wewe mwenyewe ni mtaji tosha na kauli yako/uaminifu unaweza ukakufanya ukapewa mali kauli.., (yaani unapewa mzigo ukishauza mwisho wa siku unapeleka pesa).
Kuna watu wengi sana wanamizigo / bidhaa ila hawana soko, kwahio wewe kama una soko la lets say mbuzi unaweza kwenda kijijini au kuongea na watu hata kuwekesha bond ya kitu ili wakupe mali ukishauza uwape pesa yao na wewe kuchukua bond yako, au watu wenye mashamba ya mboga mboga unaweza kuingia nao contract ya kuwa unachukua mazao na kuwalipa mwisho wa wiki au mwisho wa mwezi. Kwa njia hizi unaweza ukajikuta unaanza biashara hata bila mtaji au kama una kadi ya gari au pikipiki unaweza kuitumia hiyo kama bond (sababu siku hizi wabongo hawaaminiki na kila mtu anaogopa kulizwa)