Yaani hata leo zitto kaongea hatuishi kwenye ujamaa tena ,unaumia mimi ndugu yako kumiliki mgodi halafu husemi kitu kuhusu barricks e.t.c sheria zinaruhusu ,huwezi niita fisadi mimi wakati sijawahi shika mali ya umma labda kukwepe vikodi ushwara ,asee kuna vijana wanaoishi enzi za ujamaa kama hawadogo...itaarifu serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania kuwa umegundua nyara za serikali na uzikabidhi kwa mh. rais kikwete Kinyume cha habo naona uanataka kufungwa..ndio..unataka kujimilikisha nyara za serikali????...in one way wewe hunatofauti na mafisadi wengine....pole sana kwa kugundua tanzanite nzega tabora na wala sio arusha..pole sanaaaaaa.
Point of collection... hiyo ilikuwa enzi za ujamaa skuizi by law yanauzwa ishu ni u-abide na sheria example ripa tax ,royarities ,and responsibility to indigeneous basi kwani barrick wao nao wasikkabidhi nyaradogo...itaarifu serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania kuwa umegundua nyara za serikali na uzikabidhi kwa mh. rais kikwete Kinyume cha habo naona uanataka kufungwa..ndio..unataka kujimilikisha nyara za serikali????...in one way wewe hunatofauti na mafisadi wengine....pole sana kwa kugundua tanzanite nzega tabora na wala sio arusha..pole sanaaaaaa.
asee nakushukuru mkuu,ur such a helpmkuu nenda OFISI ZA madini HAPO NZEGA omba leseni ya utafiti wa madini wao watatuma wizarani ukisha pata then fanya utafiti katika eneo hilo na baada omba kupimiwa eneo kwa ajili ya utafiti kwa sheria ya sasa utafiti una dumu kwa miaka 7.Usihofu process ni rahisi ila cheza na jamaa wa pale NZega ofisi ya madini.
wewe na lulu mnaendana kifikra! is there any way u can convice me that u are not a teenagerMkuu nadhani unaota ndoto za mchana umenikumbusha mstari wa mwana FA "Mimi ni almas mchangani sema tu sijastukiwa" or sorry kumbe ni mstari wa 50 cent "I'm the diamond in the dirty that haven't been found". Endelea tu kuota ndoto za mchana