Mimi sijui. Kwanini hukupokea? Huoni unaweza kuta unapishana na bahati?Mtandao gani mkuu?
FulihimasoneJamani naombeni msaada wenu. Nimepigiwa simu na hii namba ila sikuopokea. Je waweza mtu kuifahamu ni namba ipi hii? +255282623003
Watukane watakupigia mkuuNimepiga imeita tu mpaka imekata
tanroad MaraJamani naombeni msaada wenu. Nimepigiwa simu na hii namba ila sikuopokea. Je waweza mtu kuifahamu ni namba ipi hii? +255282623003