Msaada wenu PSRS

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
393
Reaction score
615
Mimi nimeomba ajira lkn nashangaa nimeappy somo moja mkoa mmoja..

Zote zinanionesha nishaapply wakati nimeomba moja tu


Physics inaniambia nimesha apply wakt nimeomba sehem moja..hata somo la pili sijaomba
 
Yaaan hapo Kwa kifupi ni kuwa.. kazi zote zinaqualification zinazofanana.. hivyo hata Usaili wa kuwapata watumishi wenye huwezi utakuwa ni mmoja..
Mfano uliomba Ualimu Math basi hata Physics automatic Itakuwa umeomba.. Because kwenye CHETI chako masomo yote hayo yapo(umeyasoma)
 
Sina hakika sana na ninachokujib ila jaribu kuomba mkoa mwingne tofauti na huo ulioomba

kumbukumb zangu Kuna jamaa yangu aliwahi kuomba kipindi fulan alikuwa anaambiwa hivyo ikiwa na maana kwamba hiko ulichoomba katika eneo /mkoa tajwa Tayar kishaombwa na wengne haimaanishi wewe

hivyo omba sehem nyngine kwasab hizo nafasi zipo kufidia magap unaweza kuta unaomba physics Shinyanga wakati uhitaji kwa kuzingatiwa walioomba Tayar ushafit
hebu test KATAVI AU LINDI mikoa ambayo Inakwepa sana then ulete mrejesho kimetokea Nini
 
Hapana sio hivyo mkuu
Si kwamba kama kaomba mathematics basi automatically na fizikia kaomba
Kila somo unaomba kivyake na ukiomba somo moja maana ake mikoa yote itonesha umeomba kwa kuwa ni post moja na kama unahitaji uombe na mathematics utaandika barua nyingine utatuma na itakwambia kama ilivyo kwenye fizikia
Mikoa yote itakuambia umea pply kwa somo na ualimu wa ngazi husika kwa sababu post ni moja ila idadi ya wanao hitajika ni zaidi ya mmoja na kwa kila mkoa hivyo ww utapangwa mkoa wowote na ndio maana kwenye tangazo hawajakuambia uchague mkoa
Kwa sababu atakayebahatika atapangwa popote katika mikoa yenye uhitaji wa somo husika
Hiyo mikoa imeoneshwa tu ili ujue uhitaji wa mkoa fulani huko hivi
 
mkuu huu mfumo ni tofauti na ule wa tamisemi
Hapa ukishaomba utakwambia tayri ushaomba kama ilivyomwambia mdau hapo then hautakuruhusu kuomba tena post hiyo hiyo mpaka yesu arudi😀

Huu mfumo haukwambia wameomba wangapi kama ilivyokua tamisemi ata mkiomba elf 10 post hakuna mahali utakapoona ila ukiomba ww itakuambia comrade ushaomba relax😀😀
 
Duuuuh kama ni hivyo kwisha habari yake aombe Uraia hapo 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…