Halima james
Member
- Jun 3, 2013
- 32
- 3
Mm nmehitimu nta 6 financial administration-accounting, so nlikua nataka kuomba degree in statics ya udom au economics in project planning and mgt bt requirement zake zmeandikwa related diploma je? kuna uwezekano wa kupata hizo courses. msaada wenu tafadhali
mkuu unajua maana ya statics ni nin!? Hakunaga bach ya statics..labda kama unasoma physics au engineering ndo utaikuta huko!!