Msaada wenu tafadhari

Farida rajabu

Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Farida, hellow naombeni msaada kuhusu haya matokeo japo nimechelewa
hstry f
eng d
kisw c
geo d
civ c
math f
biology c, je anaweza soma kidato cha tano au nifanye nini?
 
Farida, hellow naombeni msaada kuhusu haya matokeo japo nimechelewa
hstry f
eng d
kisw c
geo d
civ c
math f
biology c, je anaweza soma kidato cha tano au nifanye nini?

Ndio anaweza.....credit 3 tayari anazo!!!
 
Yeah!amepata 3 credits ,hivyo anazo sifa za kusoma kidato cha tano!!...mtafutieni shule asome ama HGK,HGL au HKL!

Ila ajitahid sana kukaza kwenye history hapo!!
 
tayari anasifa ya kufanya mtihani wa kidato cha sita kwa kuwa na credit 3, anaweza kusoma kidato cha 5 bila shaka
 
Tafuta shule binafsi usome kwani una sifa za kusoma kidato cha 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…