Msaada wenu tafadhari

KASHASIRA

New Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
4
Reaction score
0
Mimi kijana naishi mkoa wa Kagera naomba ushauri nina Mtaji wa Milioni Moja nimeplani kufanya bihashara ya Internet cafe je inawezekana kwa mtaji wangu na kama haiwezakini ni bihashara Gani naweza kufanya kwa kiasi kidogo cha fedha nilicho nacho.

Ushauri Tafadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…