the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
pole na mishughuliko ndugu na jamaa,naomba niende moja moja kwenye hitaji.
nimepata nafasi ya kusoma diploma ya horticulture chuo cha kilimo Tengeru Arusha,reporting date mwisho tarehe 15/09/2013,ingawa matokeo yalichelewa kuwekwa kwenye website ya wizara bado halinisaidii ila tatizo naitegemea pesa yangu ya nssf kwani nimeacha kufanya kazi ili nikasome,tatizo nssf wamenipa tarehe mpaka jumatatu 16/09 ambayo itakua mbele kwa muda wa kuripoti chuo na nimejaribu kuwasiliana na chuo kwa kufika chuoni ila mkuu wa chuo sikumkuta mpaka jumatatu ndipo atakuwepo chuon,sasa waungwana kuna uwezekano kwa vyuo[vya serikali]kumuongezea mwanafunzi muda wa kuripoti chuoni?na kama linawezekana taratibu zipi nizifuate?
msaada wenu ni wa muhimu sana kwangu,ahsante
nimepata nafasi ya kusoma diploma ya horticulture chuo cha kilimo Tengeru Arusha,reporting date mwisho tarehe 15/09/2013,ingawa matokeo yalichelewa kuwekwa kwenye website ya wizara bado halinisaidii ila tatizo naitegemea pesa yangu ya nssf kwani nimeacha kufanya kazi ili nikasome,tatizo nssf wamenipa tarehe mpaka jumatatu 16/09 ambayo itakua mbele kwa muda wa kuripoti chuo na nimejaribu kuwasiliana na chuo kwa kufika chuoni ila mkuu wa chuo sikumkuta mpaka jumatatu ndipo atakuwepo chuon,sasa waungwana kuna uwezekano kwa vyuo[vya serikali]kumuongezea mwanafunzi muda wa kuripoti chuoni?na kama linawezekana taratibu zipi nizifuate?
msaada wenu ni wa muhimu sana kwangu,ahsante