Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaokuvunja moyo hawajui wanachokiongea humu....habari wanajf, hivi kuna uwezekano
wa mwl wa diploma kuchukua degree
ya kozi nyingne tofaut na education
kama accountancy au civil engnerng?
Msaada wenu tafadhar
Wanaokuvunja moyo hawajui wanachokiongea humu....
Inawezekana kabisa ukaanzia level ya "Certificate" fani yoyote kwa kutumia CSEE results. Pili unaweza kuanzia level ya "Diploma" fani yoyote ukitumia sifa ya "ACSEE" ilimradi tu uwe na vigezo vya ufaulu...
Mimi mwenyewe nina fani 3 tofauti, mbili nina Advance Diploma kwa mbinu hiyo hapo juu na moja level ya Masters. Hii ya Masters niliianzia level ya Diploma kwa kutumia sifa ya ACSEE wakati nikiwa kazini na professional nyingine. Na ndiyo ninayoipenda mno na kuiniingizia kipato kizuri kwani imenipa mwanya mkubwa wa kufanya kazi binafsi baada ya muda wa ofisi.
Tuko pamoja mkuu, kaza buti katika chaguo la moyo wako kila kitu kinawezekana chini ya jua, binafsi huwa ninaamini nimeshindwa siku nitakaporudi mavumbini tu!!...asante sana mkuu mana ninawaza sana kuhusu hlo
Unamaanisha wanaojiunga na vyuo vikuu wanatumia sifa gani?matokeo ya kidato cha sita hayana sifa ya kuapply shahada
Mkuu hata marafiki zangu Wahasibu, Human Resource Officers wengi ninaowafahamu wanasema walipitia Ualimu...inawezekana sana nimeshudia wanasheria wengi walikuwa waalimu
Uwe mkweli tu, una maana A LEVEL ulifeli lakini ukajiunga na chuo cha Ualimu ukapata Stashahada, au siyo?ndugu yangu wew hujanielewa, cna sifa za a_level ila nataka ku2mia diploma ya education. Nahic xax utakuwa umenielewa