mitutwe pazi
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 150
- 28
Habari za jioni wakuu...ni matumaini yangu weekend iko poa kwa upande wenu.
kuna suala moja la kisheria ambalo ningependa kuomba msaada wenu, suala lenyewe ni kama ifuatavyo
kuna bro wangu ambaye amenunua kiwanja, lakini manunuzi yenyewe ya kiwanja yamefanyika kindugu sana kiasi hakukuwa na ushirikishwaji wa mamlaka yoyote ya serikali kama mjumbe au serikali za mitaa, na hii yote ni kwa sababu ameuziwa na mtu wanaefahamiana kwa ukaribu sana.
kama mnavyofahamu mazingira ya uaminifu si mazuri sana hususani katika kipindi hiki cha demand kubwa za maeneo, hivyo naomba kufahamu ni njia gani za kisheria ambazo anaweza kuzifuata ili kuweza kupata hati ambayo itaonyesha kama yeye ndio mmliki halali wa kiwanja husika.
Natanguliza shukrani..
kuna suala moja la kisheria ambalo ningependa kuomba msaada wenu, suala lenyewe ni kama ifuatavyo
kuna bro wangu ambaye amenunua kiwanja, lakini manunuzi yenyewe ya kiwanja yamefanyika kindugu sana kiasi hakukuwa na ushirikishwaji wa mamlaka yoyote ya serikali kama mjumbe au serikali za mitaa, na hii yote ni kwa sababu ameuziwa na mtu wanaefahamiana kwa ukaribu sana.
kama mnavyofahamu mazingira ya uaminifu si mazuri sana hususani katika kipindi hiki cha demand kubwa za maeneo, hivyo naomba kufahamu ni njia gani za kisheria ambazo anaweza kuzifuata ili kuweza kupata hati ambayo itaonyesha kama yeye ndio mmliki halali wa kiwanja husika.
Natanguliza shukrani..