Matingi litikiti
Member
- Apr 26, 2016
- 64
- 25
Ni miezi 4 sasa jamaa hakiwika mara moja tu hiyo hadi kesho yake vp ndugu zangu nahitaji msaada ila nimekunywa Ngorika ya Kimasai weeeee lakini haitaki kusikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kaka me nimeoa unataka nichepuke sio?Fanya ngono na mtu unayempenda ili kuamsha hisia zako
Cjakuelewa ndg?Mwanaume mwingine wa Dar huyu huku!
Sasa kaka me nimeoa unataka nichepuke sio?
Mkuu Kama NGORIKA imekataa jaribu na CHAKITO. Nasikia ni kibokoNi miezi 4 sasa jamaa hakiwika mara moja tu hiyo hadi kesho yake vp ndugu zangu nahitaji msaada ila nimekunya Ngorika ya Kimasai weeeee lakini haitaki kusikia.
Unaweza ukawa wa kwanza kuzaliwa na ukawa mjinga na mpuuzi kama wewejoined yesterday. shit
Usikariri mkuu.joined yesterday. shit
Pole sana mkuu.Ni miezi 4 sasa jamaa hakiwika mara moja tu hiyo hadi kesho yake vp ndugu zangu nahitaji msaada ila nimekunya Ngorika ya Kimasai weeeee lakini haitaki kusikia.
Hahaha hahahahahaha, usiku mwemaUnaweza ukawa wa kwanza kuzaliwa na ukawa mjinga na mpuuzi kama wewe