mitutwe pazi
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 150
- 28
Labda private school kwa sababu una four ya 26 tayar hujafaulu labda watoe nafas za upendeleo kutokana na upungufu wa waliofaulu
Hapana mkuu nina III ya 25
kwa iyo kwenye matokeo ya baraza wamekwandikia una iii 25
Ndiyo mkuu nimeandikiwa nina III ya 25
we ndugu yangu 3 ya wapi hiyo kama necta walikuandikia 3 basi wamekose maana civ na math lazima wakuhisabie katika masomo saba hasa we ndugu yangu math umepiga f hiyo 3 ya 25 inatokea vp angalia mahesabu haya 3+3+3+4+4+4+5=?Hapana mkuu nina III ya 25
we ndugu yangu 3 ya wapi hiyo kama necta walikuandikia 3 basi wamekose maana civ na math lazima wakuhisabie katika masomo saba hasa we ndugu yangu math umepiga f hiyo 3 ya 25 inatokea vp angalia mahesabu haya 3+3+3+4+4+4+5=?
Haya nipe jibu hapo ngapi ndugu yangu
Ndiyo ndugu hii ni 26 lakini sifahamu wao mahesabu yao walilenga wapi, au ni kwa sababu ya hilo somo la literature kwa sababu ndugu kama utaangalia wengi wa mwaka huu hawajapigwa peneti ya hilo somo la math
we ndugu yangu 3 ya wapi hiyo kama necta walikuandikia 3 basi wamekose maana civ na math lazima wakuhisabie katika masomo saba hasa we ndugu yangu math umepiga f hiyo 3 ya 25 inatokea vp angalia mahesabu haya 3+3+3+4+4+4+5=?
Haya nipe jibu hapo ngapi ndugu yangu
kwel necta kizunguzungu
Hebu tizameni hapa tu ndugu, huyu nilimaliza nae ana III ya 25 amepata kama ifuatavyo..
Civ-D Hist-D Geo-D LIterature-C Kisw-C Eng-C Bios-D math-F Comm-F B/k-F
Na huyu nae ana IV ya 26 amepata kama ifuatavyo
Civ-D Geo-D Hist-C E/D/Kslam-D Kisw-C Eng-D BIos-D Math-F COmm-F B/K-F
Haya hapo wandugu niambieni hiyo penati ya hesabu imetoka wapi
kwanini?