Msaada wenu wa dhati

gumboot

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
263
Reaction score
93
Habari wanajamvi,

Mimi nina mtoto wangu yuko hatua za mwisho za kujifungua, ila anadalili za kutapika na kushuka pressure, Pia nimeambiwa mtoto kajisaidia haja kubwa nabado yupo anasubiri process, tunaweza kumsaidiaje .

Tayari nimempeleka hospitali.
 
Huko hospitali watamfuatilia kwa yaliyo bakia,kama mpaka hajakubwa ishatoka ujue chombo kipo njiani kinakaribia kuwasili…karibuni utaitwa babu fulani!!!
 
Huko hospitali watamfuatilia kwa yaliyo bakia,kama mpaka hajakubwa ishatoka ujue chombo kipo njiani kinakaribia kuwasili…karibuni utaitwa babu fulani!!!

Asante kwa ushauri
 
umempeleka hospitali gani? manake hizi hosp za kata hizi naziogopa nenda tafuta haswa speacilist wa wamama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…