Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ninahitaji kubadilisha Signature. Ambayo nimekuwa natumia miaka yote naona ipo complicated na mimi nimeanzisha kampuni natakiwa sometimes nisaini docs nyingi.
So nasign mpaka signature inabadilika na ninachoka sipendi kuwa nasign sana.
Nahitaji kubadili signature niwe nayo moja simple tu ambayo hata nikisaini mara 20 itabaki the same.
Naomba kujua mchakato wa kubadili signature na kama una some cost pia ni vizuri nikifahamu.
So nasign mpaka signature inabadilika na ninachoka sipendi kuwa nasign sana.
Nahitaji kubadili signature niwe nayo moja simple tu ambayo hata nikisaini mara 20 itabaki the same.
Naomba kujua mchakato wa kubadili signature na kama una some cost pia ni vizuri nikifahamu.