Msaada wenu wakuu

Basuzwa

Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Hivi mtu aliyerisiti mtihani wa kidato cha nne na akafaulu kwa kupata division 3 anaweza kupangiwa shule ya A-level ya serikali?
 
Ninavyofahamu ni kwamba ukishaitwa PRIVATE CANDITATES hapo umeagana na shule za serikal,means hapo ni full private mwanzo mwisho hata ungekuwa na dvs 1 ya 7.
 
Inategemea km ume meet requirements za kukuwezesha kuchaguliwa shule ya serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…