Msaada Wenu wana JF........please...!

Kisaka80

Senior Member
Joined
Feb 4, 2012
Posts
151
Reaction score
94
Wapendwa wana JF

Kuna ndugu yangu amepata Division Four pts 32, na amepata alama C katika somo la Biology.

Je anaweza kupata nafasi ya kusomea Nursing na baadae kuweza kuajiriwa?

Pia naomba mnitajie vyuo vya Nursing vya serikali au Binafsi/ private......mnavyovifahamu na sifa zitakiwazo ili kujiunga na mafunzo kama unafahamu.

Asanteni sana.
 
mie sijuii ila ukipata contacts za shule//vyuo watakueleza.

Mwambie asivunjike moyo.
 
kwi kwi kwi, hapo inamaana kapata C moja zilizobaki F, huyo hapati hata polisi haendi huyo
 
Mhk, labda kama chuo ni chenu but sidhani kama atapata sehemu yoyote bila kuresit ili apate credits tatu. Kuna jamaa kazema hata upolisi hawezi. Nadhani aende tu na cheti cha la saba kama bado vinatolewa. Mpe pole mkuu!!!!!
 
C ya bios ni nzuri na dogo watamchukua2 koz hyo ni sayansi, vyuo vya nursing ni chuo cha Nkinga-Tabora nzega, chuo cha Mvumi-Tabora, manyoni-singida so hvyo ni baadhi ya vyuo so wahi kufatilia koz huwa kuna intrvw aprl.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…