Msaada Wenu Wandugu

Msaada Wenu Wandugu

TingTing

Member
Joined
Dec 20, 2009
Posts
92
Reaction score
4
Wandugu, nimejaribu kuangalia google lakini sioni hata tonye list ya shule ambazo ni kali kimichezo haswa katika mpira wa miguu na kikapu hapa nyumbani. Naombeni msaada wenu katika kujua shule za sekondari toka kila mkoa ambazo ni kiboko sana kwa;

1. Mpira wa Miguu (Soccer)
2. Mpira wa Kikapu (Basketball)

Katika soccer angalau natambua Jitegemee, Makongo na St Antony's na katika kikapu niliwahi kusikia St Mary's School, Makongo, Tambaza, Forodhani na Azania. Sijui kama bado hiko hivyo hadi sasa.

Asanteni
 
you can't even find relevant info about Tanzania on google, let alone Tanzania sports
 
Back
Top Bottom