MSAADA WENU

MSAADA WENU

NOSWEAT

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
332
Reaction score
324
Nina gari Toyota premio new model huwa linamisi Sana nikiliwasha mda wa asubuhi mpaka linazima kabisa na mda mwingine hata likikaa mda mrefu kuanzia asubuhi mpaka jioni nimezunguka kwa mafundi lakini wapi nimebadilisha fuel pump pamoja na plug tatizo bado to naombeni ushauri mwenye kujua asante
 
Hawa mafundi wa mtaani ni wapiga-ramli Tu peleka gari yako ikafanyiwe diagnosis
 
Nenda kapime gar mkuu tatizo hilo lipo kwenye sensor na ili ujue ni sensor gan ni lazima ipimwe mkuu, mafundi wa mtaani ni wapiga ramli tu utanununua vitu vngi tu bila sababu, kachukue plug zako na fuel pump zako zilizokuja na gar mkuu.
Hawa mafundi wa mtaani ni wapiga-ramli Tu peleka gari yako ikafanyiwe diagnosis
 
Back
Top Bottom