D dito64 Member Joined Jul 27, 2013 Posts 34 Reaction score 3 Sep 27, 2013 #1 Habar zenu wanajamvi.nmebahatika kuchaguliwa st Joseph-songea,nilikuwa naomben mwenye kujua kuhusu maelezo muhimu kuhusu mambo ya joining..
Habar zenu wanajamvi.nmebahatika kuchaguliwa st Joseph-songea,nilikuwa naomben mwenye kujua kuhusu maelezo muhimu kuhusu mambo ya joining..
M Mambaenock JF-Expert Member Joined Aug 7, 2013 Posts 427 Reaction score 107 Sep 27, 2013 #2 Jaribu kuangalia kwenye website yao nadhani watakua wametoa
Mpigamsuli JF-Expert Member Joined May 24, 2012 Posts 3,885 Reaction score 582 Sep 29, 2013 #3 Utitiri wa vyuo vikuu ni tabu sana
Ngosha255 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2013 Posts 430 Reaction score 512 Sep 29, 2013 #4 Joining zilitumwa kwenye za applicants tangu 30 aug
samilakadunda JF-Expert Member Joined Oct 13, 2011 Posts 1,780 Reaction score 355 Sep 29, 2013 #5 mpigamsuli said: Utitiri wa vyuo vikuu ni tabu sana Click to expand... nyindio msiopenda na wengine wasome, kamaulisoma 70s this is 2010s hatamtoto wa mkulima anaenda varsity, kujiona mungu watu eti kwakuwa umesoma elimu ya juu, sio sasa, TZ kama naigeria.
mpigamsuli said: Utitiri wa vyuo vikuu ni tabu sana Click to expand... nyindio msiopenda na wengine wasome, kamaulisoma 70s this is 2010s hatamtoto wa mkulima anaenda varsity, kujiona mungu watu eti kwakuwa umesoma elimu ya juu, sio sasa, TZ kama naigeria.
D dito64 Member Joined Jul 27, 2013 Posts 34 Reaction score 3 Sep 29, 2013 Thread starter #6 Makoye Ngosha said: Joining zilitumwa kwenye za applicants tangu 30 aug Click to expand... Mm nlifanya transfer ya kwenda st Joseph na nikafanikiw kupata..cjatumiwa chochote hadi now,km unayo nijulishe nikupe email yang unitumie mkuu
Makoye Ngosha said: Joining zilitumwa kwenye za applicants tangu 30 aug Click to expand... Mm nlifanya transfer ya kwenda st Joseph na nikafanikiw kupata..cjatumiwa chochote hadi now,km unayo nijulishe nikupe email yang unitumie mkuu