msaada; wenye uelewa waniisaidie

DAVIES

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
516
Reaction score
90
Habarini za wakati huu
jamani Nina brother kamaliza secondary Moshi technical school mwaka 1996 na alipata dvsn three form IV akakosa mtu wa kumuendeleza kidato cha tano so akakata tamaa kabisa ya kusoma na akatokomea porini kuanzisha maisha yake
mi nataka Ni muendeleze hasa na Kozi hasa ya ualimu maana yeye ananiambia anaipenda kazi hiyo Sana na yuko tayari kusoma.
SWALI je naweza kupata chuo ambacho kitamchukua? kulingana na muda aliokaa nyumbani
sina idea na vyuo vya ualimu mi nipo AFYA hivyo naombeni mawazo yenu yenyekujenga na sikubomoa.
ahsanteni Sana
nawakilisha.
 
Samahani DAVIES.!!
Huko alipokimbilia (porini) kutafuta life, mambo hayajaeleweka bado..??

Kwasababu hata akiendelea kusoma, ataanza na cheti, ambapo salary ni ya kikudah.
Tena yawezekana huko porini pana unafuu, kuliko hata huo ualimu unaodhania.
 
Last edited by a moderator:
KUNA vyuo vya private,anaweza soma,ila serikalini sijui kwa kweli subiri wanaojua zaidi wakueleweshe
 

Du! kiujumla kwa serikal hawezi pata maana wanachukua kuanzia 2008 na kuendelea na baadhi ya private ninazozijua mimi akifanyiwa mpango anapata but kwa msaada zaid ni PM au my phon no.0766848077 nice day
 
Nashauri Uende Makao Makuu Halmashauri ya Wilaya/Manispaa unapoishi idara ya Elimu utapata Msaada na Maelekezo zaidi.
Suala la Kusoma Halina Limitation ya Mwaka uliomaliza Shule.kikubwa Uwe Una Qualify Academically full stop.
 
Kwa huo mwaka aliomalizia shule mtasumbuka sana na hasa kuna waroho watawalia hela, mtafutie mishe nyingine kwakweli
 
Nashauri Uende Makao Makuu Halmashauri ya Wilaya/Manispaa unapoishi idara ya Elimu utapata Msaada na Maelekezo zaidi.
Suala la Kusoma Halina Limitation ya Mwaka uliomaliza Shule.kikubwa Uwe Una Qualify Academically full stop.

academically yuko vizuri ana division 3
 

yes alinipiga support Sana kipindi hiko na sasa anatamani Sana kurudi shule
 
Last edited by a moderator:
academically yuko vizuri ana division 3

Kama academically yupo vizuri fata ushauri tuliokupa, kabla ya kutafuta chuo cha Private anzia kwanza Ku-fight kwa Vyuo vya Serikali,otherwise upo Poa financially such away kua uta Afford gharama zote ukimpeleka vyuo vya Private.
 
Kama academically yupo vizuri fata ushauri tuliokupa, kabla ya kutafuta chuo cha Private anzia kwanza Ku-fight kwa Vyuo vya Serikali,otherwise upo Poa financially such away kua uta Afford gharama zote ukimpeleka vyuo vya Private.

thanx naanza sasa kufight
 
ushaur mzur nenda wizara ya elimu.

samahani kaka ana credit za masomo gani?if anazo za science zote nakushauri aende chuo cha ardhi institute pale morogoro akimaliza tu dip ya geomatics atapata kazi nzuri tu na ada zake ni nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…