Msaada WhatsApp yangu inakuwa logged out ikihusishwa na spam

Msaada WhatsApp yangu inakuwa logged out ikihusishwa na spam

Daata

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
4,673
Reaction score
1,875
Wadau wa Jamiiforums Habari za wakati huu.

Na leta kero yangu kwenu kuhusu WhatsApp yangu kusumbua mara kwa mara. Usumbufu unatokana kuwa log out kwa madai ya account yangu kuhusishwa na spam.

Tatizo lilianza siku moja namba yangu ili unganishwa na ma group kama tano ambayo haya kuwa ya kawaida na ya nchi zingine tofauti na Tanzania. Nilijitoa kwenye hayo ma group lakini toka siku hiyo account yangu inakuwa logged out hadi hapo niombe review ndiyo inarejeshwa.

Na tumia official WhatsApp wala siyo unofficial. Je tatizo hili laweza kuhusishwa na aina ya simu unayo tumia?
Na Je unawezaje kuondokana na tatizo hili.

Nawasilisha.
Screenshot_20241025-213557.jpg
Screenshot_20241025-213642.jpg
 
Hivi ni mimi tu ndio nakumbana na tatizo hili ee
 
Pole mkuu, saivi wasap wanapambana sana ku deal na SPAMS na Unofficial Version so hua wanatafuta sababu ndogo tu, wanakupiga Ban, sio kwako tu wengine pia wanahilo tatizo, Pole japo sina msaada wa kukupa jaribu YouTube au kugoogle.
 
Wadau wa Jamiiforums Habari za wakati huu.
Cc: mwl.crt
Whatsapp support wakikujibu kuwa waweza jisajiri tena, basi.

Kuna mambo mawii unayopaswa kufanya kabla ya kujiunga/kujisajiri upya.
  • Hatua ya kwanza: Ingia Apps & Notifications > WhatsApp > Storage & Cache, kisha chagua Clear Cache.
  • Hatua ya Pili: Unistall hiyo app. iliyopo kisha download upya.
  • Hatua ya Tatu: Endelea na matumizi
Nasubiri jibu hapa
 
VP
Wadau wa Jamiiforums Habari za wakati huu.

Na leta kero yangu kwenu kuhusu WhatsApp yangu kusumbua mara kwa mara. Usumbufu unatokana kuwa log out kwa madai ya account yangu kuhusishwa na spam.

Tatizo lilianza siku moja namba yangu ili unganishwa na ma group kama tano ambayo haya kuwa ya kawaida na ya nchi zingine tofauti na Tanzania. Nilijitoa kwenye hayo ma group lakini toka siku hiyo account yangu inakuwa logged out hadi hapo niombe review ndiyo inarejeshwa.

Na tumia official WhatsApp wala siyo unofficial. Je tatizo hili laweza kuhusishwa na aina ya simu unayo tumia?
Na Je unawezaje kuondokana na tatizo hili.

Nawasilisha.View attachment 3155995View attachment 3155996vp ulipata solution ya hili tatizo unisaidie na mimi, maan na me kwangu nakumbana na changamoto hii
 
Back
Top Bottom