Msaada : Wife anawashwa sehemu za siri na ameenda hospital zaidi ya mara mbili bila mafanikio

SACO

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
2,623
Reaction score
3,397
Habari wana JF, wife anawashwa sana sehemu zake za siri na ameenda hospital zaidi ya mara mbili lakini sioni mabadiliko hospital wamempima damu na mekuwawakimbadilishia dawa bila mafanikio.

Naomba msaada kwa wanaojua hasa akina dada mliowahi kupatwa na hiki kitu
 
Either ni uti sugu, vagina candidiasis au magonjwa mengine yanayoambatana na hivo

Akacheki mkojo

Halaf awe safi na mkavu huko ahakikishe anavaa nguo za ndani zisizo bana, anywe maji mengi na usikutane kimwili had atakapomaliza dozi yake, aanike nguo za ndani juani ikibidi hata hizo nguo aachane nazo atafte mpya za cotton
 
Kama uko hapa dar, nakushauli uende kibaha mlandizi ukamuone dakitari anaye itwa Shelukindo, naimani hilo tatazo la mke wako litatuliwa, niliwahi kuwa na mgonjwa wa aina kama huyo mke wake, nashukuru alipona,
 
Umemaliza
 
Hospital walisema ni ugonjwa gani amepata mke wako
 
Mwambie aache kuoshea uke limao, asali sijui sabuni aache kabisa
 
Njoo PM mkuu
 
Anayo maradhi ya Fungus suugu au maradhi mengine ya zinaa aende kupima na uje unitafute nipate kumtibi ili aweze kupona.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…