MLIMAWANYOKA
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 631
- 2,247
Habari wakuu,
Nimepata safari ya kiutafiti Maeneo ya wilaya ya Mkalama, sina idea yoyote kuhusu eneo hilo, sina mwenyeji kule na sijawahi fika kabisa.
Naomba kujuzwa yafuatayo;
1. Nasafiri kwa magari gani nikitokea Dodoma.
2. Kuna nyumba za kulala wageni? avarage price?
3. Maeneo standard ya kujiliwaza wakati wa jioni; bar, etc.
4. Nature ya wenyeji wa kule.
Natanguliza Shukrani.
Nimepata safari ya kiutafiti Maeneo ya wilaya ya Mkalama, sina idea yoyote kuhusu eneo hilo, sina mwenyeji kule na sijawahi fika kabisa.
Naomba kujuzwa yafuatayo;
1. Nasafiri kwa magari gani nikitokea Dodoma.
2. Kuna nyumba za kulala wageni? avarage price?
3. Maeneo standard ya kujiliwaza wakati wa jioni; bar, etc.
4. Nature ya wenyeji wa kule.
Natanguliza Shukrani.