Mpogoro JF-Expert Member Joined Dec 7, 2008 Posts 387 Reaction score 58 May 19, 2010 #1 Waheshimiwa kuna mtu yeyote jamvini hapa yuko kwenye ma-SAP,ningependa kupata mwongozo wa kuingia upande huo...bado naendelea kufanya utafiti na ingekuwa jambo la busara sana kupata mwongozo wakati huu! Tafadhali ni PM
Waheshimiwa kuna mtu yeyote jamvini hapa yuko kwenye ma-SAP,ningependa kupata mwongozo wa kuingia upande huo...bado naendelea kufanya utafiti na ingekuwa jambo la busara sana kupata mwongozo wakati huu! Tafadhali ni PM
M Misterdennis JF-Expert Member Joined Jun 4, 2007 Posts 1,741 Reaction score 481 May 20, 2010 #2 Tafadhali eleza hayo ma -SAP yanahusu nini basi, ili watu waweze kusaidia pale inapowezekana.
A AmaniGK JF-Expert Member Joined Jan 10, 2008 Posts 1,163 Reaction score 400 May 20, 2010 #3 SAP kubwa ndugu yangu unataka usaidiwe upande gani?
K KGB Member Joined Sep 2, 2010 Posts 52 Reaction score 6 Sep 15, 2010 #4 I use sap daily what do you need? send your question to kgb.tanzania.company@gmail.com