Msaada with SAP

Mpogoro

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2008
Posts
387
Reaction score
58
Waheshimiwa kuna mtu yeyote jamvini hapa yuko kwenye ma-SAP,ningependa kupata mwongozo wa kuingia upande huo...bado naendelea kufanya utafiti na ingekuwa jambo la busara sana kupata mwongozo wakati huu!

Tafadhali ni PM
 
Tafadhali eleza hayo ma -SAP yanahusu nini basi, ili watu waweze kusaidia pale inapowezekana.
 
SAP kubwa ndugu yangu unataka usaidiwe upande gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…