Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Oct 9, 2019 #1 Naomba kufahamu kama marehemu ambae ni mume ameacha wosia unaomtambua mke wake ambae ni mama yetu wa kambo kama mmiliki wa mali, je mama huyo wa kambo anaweza kuuza mali alizoachiwa na marehemu wakati kuna watoto wa marehemu wadogo na wanaosoma?
Naomba kufahamu kama marehemu ambae ni mume ameacha wosia unaomtambua mke wake ambae ni mama yetu wa kambo kama mmiliki wa mali, je mama huyo wa kambo anaweza kuuza mali alizoachiwa na marehemu wakati kuna watoto wa marehemu wadogo na wanaosoma?
LIKE JF-Expert Member Joined Dec 17, 2013 Posts 4,755 Reaction score 9,889 Oct 9, 2019 #2 haya Peter E.Mselem hili linakuhusu
B BEHOLD JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 5,056 Reaction score 10,721 Oct 11, 2019 #3 Kama karithishwa kama yeye, anaweza kuuza. Ila kama alirithishwa kwa niaba ya watoto na yeye basi hawezi kuuza. Inashauriwa sana unapotaka kuandika wosia, upate guidance ya wana sheria.
Kama karithishwa kama yeye, anaweza kuuza. Ila kama alirithishwa kwa niaba ya watoto na yeye basi hawezi kuuza. Inashauriwa sana unapotaka kuandika wosia, upate guidance ya wana sheria.
No Escape JF-Expert Member Joined Mar 7, 2016 Posts 6,663 Reaction score 7,785 Oct 11, 2019 #4 Hawa wanawake wa sasa jamani kabla kuwaachia wosia mtafakari kwanza! Tujifunze kutokana na matukio tunayoyaona na kusikia kila siku.
Hawa wanawake wa sasa jamani kabla kuwaachia wosia mtafakari kwanza! Tujifunze kutokana na matukio tunayoyaona na kusikia kila siku.
feysher JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 2,656 Reaction score 2,771 Oct 11, 2019 #5 Ngoja wanasheria waje ingawa nadhani anaruhusiwa kama yeye ni mmiliki aliyerithishwa na si kwa niaba ya.
Ngoja wanasheria waje ingawa nadhani anaruhusiwa kama yeye ni mmiliki aliyerithishwa na si kwa niaba ya.
Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Oct 22, 2019 Thread starter #6 Nasubiri majibu zaidi
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Oct 24, 2019 #7 Kwani wosia wa maandishi unasemaje?
Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Oct 28, 2019 Thread starter #8 Nyani Ngabu said: Kwani wosia wa maandishi unasemaje? Click to expand... Nitakujibu mkuu Nyani Ngabu
NostradamusEstrademe JF-Expert Member Joined Jul 1, 2017 Posts 3,402 Reaction score 4,532 Oct 28, 2019 #9 wasiliana na www.sungconsultants.co.tz