Salaam alaykum wapendwa.. naomba kwa yoyote ambae ana ujuzi wa kutumia amazon kama sehemu yake ya kununulia bidhaa kwa njia za mtandao anisaidie procedures zake na namna ya kufanya mzigo utakaonunua ukufikie muhusika..
Salaam alaykum wapendwa.. naomba kwa yoyote ambae ana ujuzi wa kutumia amazon kama sehemu yake ya kununulia bidhaa kwa njia za mtandao anisaidie procedures zake na namna ya kufanya mzigo utakaonunua ukufikie muhusika..
Hapo kwenye bold kuna hoja mbili zinazojitokeza
1. Manunuzi amazon - Yeyote mwenye visa card au mastercard anaweza kufanya manunuzi
2. Usafirishaji wa bidhaa toka amazon kuja nchi za kiafrica - Kwa sehemu kubwa ya bidhaa za amazon hawatumi moja kwa moja kuja africa (Tanzania)
Hivyo Hizi Thread
Thread ya kwanza: www.v.ht/buy4me - Kuna machache ya kujifunza, Thread yenyewe inajieleza