Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Else tafta PC nyingine ambayo haina anti virus au uzidisable anti virus kweny PC yako, ukipata yenye Linux itakuwa poa.Habarini wadau!
Naomba maujanja kuna data ziko disk ila hiyo disk haiwezi funguka mpaka uifomart kwanza! Nawezaje kuokoa data zangu ziwe salama salmini?
View attachment 2325774
yes, itafute google inaitwa 'fast file recovery'.Ukitaka kuupload software ya recovery au?
Fuata ushauri huu kwa harakaTafuta linux os (eg ubuntu) boot live okoa data zako haraka, ikiwa haitasoma nenda kwenye disk utility mount hiyo disk