D dee Member Joined Feb 17, 2011 Posts 25 Reaction score 0 Feb 28, 2011 #1 Habari za jioni simu yangu ni N79 origin nashindwa inashindwa kusoma pdf nyingi yaani haziplay naomba msaada wenu wataalamu.Ikiwezekana nitumiwe kwenye email yangu ( dseverin47@gmail.com) naomba kuwasilisha
Habari za jioni simu yangu ni N79 origin nashindwa inashindwa kusoma pdf nyingi yaani haziplay naomba msaada wenu wataalamu.Ikiwezekana nitumiwe kwenye email yangu ( dseverin47@gmail.com) naomba kuwasilisha
Gurta JF-Expert Member Joined Sep 17, 2010 Posts 2,233 Reaction score 532 Feb 28, 2011 #2 Je, hiyo simu inayo programu ya kusoma mafaili ya PDF? Kama haina fanya kuingia ovi halafu search for pdf reader that suits your phone specs. Kama ovi haiwezekani basi tembelea getjar
Je, hiyo simu inayo programu ya kusoma mafaili ya PDF? Kama haina fanya kuingia ovi halafu search for pdf reader that suits your phone specs. Kama ovi haiwezekani basi tembelea getjar