Msaada

Msaada

Mzigua90

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2014
Posts
38,342
Reaction score
88,625
Hello Jf

Nina mtoto ana miezi miwili, siku ya leo amenisumbua mno. Anakua kama kuna kitu kinamkera sababu halii ila anajikuna kichwani na kukunja sura nikichelewa kumshika analia japo sio kwa sauti.
Toka nimejifungua sijawahi kumkata nywele na huwa akilia anashika kichwa anavuta nywele. Je inaweza kuwa sababu ni nywele zinamuwasha? Nimepanic sana sababu analala.kidogo anaamka anajikuna kichwa tu.
 
Dogo arobaini tayari. Kumbemenda naanzaje sasa. Sina hata hisia za kufanya mchezo wa wakubwa nalea kwanza.
Embu nisaidie kwanza maana mwanangu anavyohangaika mpaka ananinyima usingizi.
itakuwa joto kali halafu makofia kofia unayomvalisha labda hayana hewa manyloni
 
Una nia gani ya kutomnyoa nywele? au unataka awe [HASHTAG]#samson[/HASHTAG] ?

Hahahahahaaa.. Nilikua na maono ya kumtengeneza Samson wangu ila nimegundua mazingira ya Africa hayasupport kina Samson.
 
Hello Jf

Nina mtoto ana miezi miwili, siku ya leo amenisumbua mno. Anakua kama kuna kitu kinamkera sababu halii ila anajikuna kichwani na kukunja sura nikichelewa kumshika analia japo sio kwa sauti.
Toka nimejifungua sijawahi kumkata nywele na huwa akilia anashika kichwa anavuta nywele. Je inaweza kuwa sababu ni nywele zinamuwasha? Nimepanic sana sababu analala.kidogo anaamka anajikuna kichwa tu.
utosi huo
 
Hahahahahaaa.. Nilikua na maono ya kumtengeneza Samson wangu ila nimegundua mazingira ya Africa hayasupport kina Samson.
Hahahahaaa eti samsoni wako


Mwangalie kichwani hana mba????

Au mafuta humpaki ya kutosha???

Au mafuta ya nazi (kama unatumia) yamempa mba (baadhi huwa hivyo)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hello Jf

Nina mtoto ana miezi miwili, siku ya leo amenisumbua mno. Anakua kama kuna kitu kinamkera sababu halii ila anajikuna kichwani na kukunja sura nikichelewa kumshika analia japo sio kwa sauti.
Toka nimejifungua sijawahi kumkata nywele na huwa akilia anashika kichwa anavuta nywele. Je inaweza kuwa sababu ni nywele zinamuwasha? Nimepanic sana sababu analala.kidogo anaamka anajikuna kichwa tu.
Yes mnyoe nywele....hizo za uzazi si nzuri
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hello Jf

Nina mtoto ana miezi miwili, siku ya leo amenisumbua mno. Anakua kama kuna kitu kinamkera sababu halii ila anajikuna kichwani na kukunja sura nikichelewa kumshika analia japo sio kwa sauti.
Toka nimejifungua sijawahi kumkata nywele na huwa akilia anashika kichwa anavuta nywele. Je inaweza kuwa sababu ni nywele zinamuwasha? Nimepanic sana sababu analala.kidogo anaamka anajikuna kichwa tu.
Ulipo jifungua alichelewa kulia?
Je ulijifungua kwa njia yakawaida,alivutwa,au ulipasuliwa oparesheni?
 
Ulipo jifungua alichelewa kulia?
Je ulijifungua kwa njia yakawaida,alivutwa,au ulipasuliwa oparesheni?

Hakuchelewa kulia. Nilijifungua kawaida kabisa na hakuvutwa.
 
Hello Jf

Nina mtoto ana miezi miwili, siku ya leo amenisumbua mno. Anakua kama kuna kitu kinamkera sababu halii ila anajikuna kichwani na kukunja sura nikichelewa kumshika analia japo sio kwa sauti.
Toka nimejifungua sijawahi kumkata nywele na huwa akilia anashika kichwa anavuta nywele. Je inaweza kuwa sababu ni nywele zinamuwasha? Nimepanic sana sababu analala.kidogo anaamka anajikuna kichwa tu.
Kama hana mafua anashida ya sikio,muone daktari hasa wa ENT.
 
Back
Top Bottom