kisikinumber
Member
- Jul 24, 2014
- 94
- 68
Ungeanzisha uzi wako ingekuwa burudanKwanini kidole cha kuwekea Pete ya ndoa huwezi kukisimamisha pekee yake mpaka vidole vingine visimame tofauti na vidole vingine
ulipaswa umuulize mwalimu wako wa biology kipindi anafundisha digestion and metabolism activities.Naomba kuuliza!!
Hivi ni kwanini mtu akienda haja kubwa(kunya) anapo anza hicho kitendo ni mpaka akojoe yani mavi na mkojo hutoka pamoja?
Na ukienda kukojoa Huwezi toa kinyesi pindi unapokojoa?
Kuna mechanism gani hapo inayotumika kwa vitendo vyote hivyo viwili!!?
Kidole hicho kinaunganishwa na mshipa mkuu ambao ni connected na vidole vyote mkononi ila vidole vingine mishipa yake siyo conected kwa kidole hicho hivyo vinaweza kuinuka pekee.Kwanini kidole cha kuwekea Pete ya ndoa huwezi kukisimamisha pekee yake mpaka vidole vingine visimame tofauti na vidole vingine
Nalo jibuulipaswa umuulize mwalimu wako wa biology kipindi anafundisha digestion and metabolism activities.
Hapo sawa mkuuIko hv gallblader au kibofu cha mkojo kimesogeleana na utumbo mnene hivyo kinyesi kinapotoka huwa msukumo wake hukandamiza kibofu cha mkojo na hivyo kuufanya mkojo uflow kuelekea nje na punde kinyesi hufuata.Ni mkaribiano tu wa kibofu na mechanism hiyo ya peristalysis kitaalamu.
Acha uongoIko hv gallblader au kibofu cha mkojo kimesogeleana na utumbo mnene hivyo kinyesi kinapotoka huwa msukumo wake hukandamiza kibofu cha mkojo na hivyo kuufanya mkojo uflow kuelekea nje na punde kinyesi hufuata.Ni mkaribiano tu wa kibofu na mechanism hiyo ya peristalysis kitaalamu.
Na wewe leta uongo wako.Acha uongo
Poa subiliNa wewe leta uongo wako.
Bado unautafuta?.Leta unachojua tujifunze kwako.Unamsubiri dokta atoke zamu yake ya usiku akupe memkwa ndo ulete?.Nasubiri.Poa subili