Msaada

kisikinumber

Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
94
Reaction score
68
Naomba kuuliza!!
Hivi ni kwanini mtu akienda haja kubwa(kunya) anapo anza hicho kitendo ni mpaka akojoe yani mavi na mkojo hutoka pamoja?
Na ukienda kukojoa Huwezi toa kinyesi pindi unapokojoa?
Kuna mechanism gani hapo inayotumika kwa vitendo vyote hivyo viwili!!?
 
hata mimi nahitaji kujua hii ishu ngoja waje
 
Kwanini kidole cha kuwekea Pete ya ndoa huwezi kukisimamisha pekee yake mpaka vidole vingine visimame tofauti na vidole vingine
 
Kwanini kidole cha kuwekea Pete ya ndoa huwezi kukisimamisha pekee yake mpaka vidole vingine visimame tofauti na vidole vingine
Ungeanzisha uzi wako ingekuwa burudan
 
Iko hv gallblader au kibofu cha mkojo kimesogeleana na utumbo mnene hivyo kinyesi kinapotoka huwa msukumo wake hukandamiza kibofu cha mkojo na hivyo kuufanya mkojo uflow kuelekea nje na punde kinyesi hufuata.Ni mkaribiano tu wa kibofu na mechanism hiyo ya peristalysis kitaalamu.
 
ulipaswa umuulize mwalimu wako wa biology kipindi anafundisha digestion and metabolism activities.
 
Kwanini kidole cha kuwekea Pete ya ndoa huwezi kukisimamisha pekee yake mpaka vidole vingine visimame tofauti na vidole vingine
Kidole hicho kinaunganishwa na mshipa mkuu ambao ni connected na vidole vyote mkononi ila vidole vingine mishipa yake siyo conected kwa kidole hicho hivyo vinaweza kuinuka pekee.
Ni masuala ya tendons ktk mwili.Pitia bilogia form three.
 
Hapo sawa mkuu
 
Acha uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…