mind ur bussness
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,050
- 741
Kuna best yangu Mmoja ana dem wake, yule mdada kapata ujauzito na baada ya kwenda kupima damu akakutwa na group lenye resus factor negative.
na ameambiwa anatakiwa achomwe sindano ya ANT DOTE.
Sasa kwa madaktari wa jf naomba kuuliza kama hii sindano iko kweny BIMA au lah.
Na ni madhara gan ambayo yanaweza kuja kujitokeza baadae ktk suala zima la uzazi..
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
na ameambiwa anatakiwa achomwe sindano ya ANT DOTE.
Sasa kwa madaktari wa jf naomba kuuliza kama hii sindano iko kweny BIMA au lah.
Na ni madhara gan ambayo yanaweza kuja kujitokeza baadae ktk suala zima la uzazi..
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app