kush moker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 579
- 367
wadau kwema??nimeng'atwa na n'ge mida hii,,na nimethibitisha baada ya kumuua,,nasikia maumivu makali sana maana ameniuma mkono wa kushoto,huduma ya kwanza ni ipi nijisaidie??
________________________________________________________________________________________________________
wakuu nimerudi tena maana nimeulizia kwa baadhi ya watu wananiambia sumu yake inaua je ni kweli?huku niliko siko karibu na huduma za afya je nikiacha bila kupata dawa yoyote kuna madhara baadae??
________________________________________________________________________________________________________
wakuu nimerudi tena maana nimeulizia kwa baadhi ya watu wananiambia sumu yake inaua je ni kweli?huku niliko siko karibu na huduma za afya je nikiacha bila kupata dawa yoyote kuna madhara baadae??