Msaada

Roho ni kifaa kilicho tuna nafsi. Au Nafsi ni kitu kama hewa au pumzi ikaayo ndani ya roho
 
Kazi kubwa ya nafsi ni kumtofautisha mtu huyu na yule.Kila mtu ni tofauti hapa duniani,japo tupo billion saba lakini hakuna mtu anaefanana na mwingine hata identical twin hawafanani wakati kazi kubwa ya rohoo ni kuweka uhai ndani ya mtu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…