Msaada

Msaada

Mndengereko One

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2015
Posts
340
Reaction score
243
Nina tatizo kwenye uume wangu kwenye njia ya mkojo nikibinya kuna maumivu nayasikia na yaliaza kama miaka mitano iliyopita nimeuzuria hospital Mara kwa Mara wakaniambia kutakuwa na bacteria wakanipa dawa inaitwa noflocaxilin nikatumia maumivu yakapotea kwa muda na kurudi tena nikachoma powerself lakini tatizo bado
na nilijaribu wale jamaa wa vipimo vya kushika mkononi na inakuscan mwili mzima inaonekana kwenye laptop walio connect wameniambia na vidonda vimekwenda mpaka kwenye korodani

naomba msaada mtu mwenyekuweza kufahamu tatizo hili
 
Nina tatizo kwenye uume wangu kwenye njia ya mkojo nikibinya kuna maumivu nayasikia na yaliaza kama miaka mitano iliyopita nimeuzuria hospital Mara kwa Mara wakaniambia kutakuwa na bacteria wakanipa dawa inaitwa noflocaxilin nikatumia maumivu yakapotea kwa muda na kurudi tena nikachoma powerself lakini tatizo bado
na nilijaribu wale jamaa wa vipimo vya kushika mkononi na inakuscan mwili mzima inaonekana kwenye laptop walio connect wameniambia na vidonda vimekwenda mpaka kwenye korodani

naomba msaada mtu mwenyekuweza kufahamu tatizo hili
Utakojoa dagaa lipo ulilolifanya kumbuka vizuri.
 
Back
Top Bottom