mwezi mmjo uliopita niliumia mkono ( kuanguka) kwenye maungio kati ya mkono na kiganja picha iyo apo chini pamoja na X ray nilienda hospital wakanifunga p.o.p sasa Jana nimetolewa nakukuta mkono ukiwa umebadilika na uko tofauti yani bado aujakaa vizuli na unauma picha iyo apo chini kama kuna MTU ana uzoefu na mkono au anadawa anaweza kunisaidia