msaada

exaudjoshua

Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
9
Reaction score
0
ninamwenzangu ambaye yeye hayupo jf na ameniomba niliwasilishe hili kama anaweza kupata ushauri.Anaomba kujua jinsi atakavyoweza kuacha kufanya punyeto anatamani kuwacha lakini bado inakuwa ngumu,na pia ameanza kusikia maumivu kwenye magoti na anapo chuchuma yanalia kama vile ute umekwisha kwenye magoti je na hilo pia linasababishwa na punyeto?He needs your help.
 
Kijana atakua muda mwingi anawaza ngono.Mwambie kua punyeto inadhoofisha mwili hasa kama atakua anafanya kila siku.Nina imani hata afya yake haipo vzuri.
Huyo ameathirika kisaikolojia na kuacha kwake nafikiri mpk apelekwe kwa wataalam kwa ushauri zaidi.au ni wewe mwenyewe nini?usione noma mkuu,sema usikike!
 
the way ulivyoandika inaonyesha ni wewe.!
 
Fanya mazoezi sana na jiweke bize, achana na mawazo ya ngono. Zaidi waone wataalamu wa saikolojia watasaidia.
 
Mkuu, mpaka magoti yanauna na unakiri ute magotini umekwisha!
Kwani kwa siku unapiga mara ngapi?
 
Mwambie aepukane na visababishi vinavyompelekea ku masturbate.
 
<br />
<br />
we inaonekana u mmoja wao.teh teh teh teh!mtakufa vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…