Msaada

Msaada

Ikimura

Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
22
Reaction score
2
Habari wana jamii, mimi na mke wangu tuna kama miaka mitano tuko pamoja, ila kitu kinacho nitatiza nikuwa wakati tukitaka kufanya majambo...hasa kwenye foreplay huwa lubricant haitoki...what might be the problem????

Asanteni..
 
Dokta atakuja kwa ufumbuzi wa tatizo lako kikamilifu.
 
Habari wana jamii, mimi na mke wangu tuna kama miaka mitano tuko pamoja, ila kitu kinacho nitatiza nikuwa wakati tukitaka kufanya majambo...hasa kwenye foreplay huwa lubricant haitoki...what might be the problem????

Asanteni..

eleweka basi..umeandika as if wote tunakuaga eneo la tukio...hiyo lubricant yako aa yake haitoki??

 
Back
Top Bottom