MSAADA

MSAADA

mhuri25

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2016
Posts
2,780
Reaction score
3,733
Hello WanajF Tech, naomba mnisaidie hili suala mbele yenu niko na Samsung A04S nina takribani mwezi sasa nikitaka kupiga Picha napewa notofications Warning Camera Failed nimejaribu Kugoogle sana napewa solutions nafanya but nothing working naenda Youtube nasukiliza sana demo nafanya ila mambo bado magumu sana sana naomba mnisaidie hii kitu inanitesa sana kuna muda nataka niwe na Picha ili iweze rahisisha shughuli zangu ila nakwama kabisa kwa wataalamu humu naombeni msaada wenu
 
kwanza nenda ktk main setting alafu uende system update na uapdate system ya simu na Mungu akipenda yaweza kutatua changamoto yako,kwanza tizama last update ni lini? Na ikiwa ni zaidi ya miezi mitatu ujue tatizo linaanzia hapo hyo ni misbehaviour
 
kwanza nenda ktk main setting alafu uende system update na uapdate system ya simu na Mungu akipenda yaweza kutatua changamoto yako,kwanza tizama last update ni lini? Na ikiwa ni zaidi ya miezi mitatu ujue tatizo linaanzia hapo hyo ni misbehaviour
Sasa Mungu anahusika vipi kwenye tatizo la kamera ya simu?
Eti Mungu akipenda yaweza kutatua changamoto!
Hiyo simu haihitajiki imani kutatua hilo tatizo lake.
Hilo ni swala la kiufundi siyo kimiujiza
 
kwanza nenda ktk main setting alafu uende system update na uapdate system ya simu na Mungu akipenda yaweza kutatua changamoto yako,kwanza tizama last update ni lini? Na ikiwa ni zaidi ya miezi mitatu ujue tatizo linaanzia hapo hyo ni misbehaviour
Niliupdate baada ya kipindi kirefu kidogo ikawa OK kwa siku moja tu ikarudi tena hapo mkuu
 
Sasa Mungu anahusika vipi kwenye tatizo la kamera ya simu?
Eti Mungu akipenda yaweza kutatua changamoto!
Hiyo simu haihitajiki imani kutatua hilo tatizo lake.
Hilo ni swala la kiufundi siyo kimiujiza
unadhani nipo ktk kukupa jibu hasi? Kamwe sitafika uko ila tambua ktk upande wangu imani yangu inanitaka pamoja na uelewa wangu Mungu namtanguliza na wala sikulazimishi wewe kukubaliana na hili au kuufata ujinga wangu,ukawe na siku yenye baraka ndugu!
 
Back
Top Bottom