Msaada

BABA BOMBASTIC

Senior Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
146
Reaction score
246
Habari
Mwenye kuelewa kuhusu internet anisaidie nataka kununua airtel router sasa bando la chini ni 70000 ambayo ni mbs 10 sasa nataka niwekanofficine kwa ajili ya kudownload movies je itanifaa au speed yake iko chini
 
Kama robo saa hivi kila movie speed yake, sema ina limit kuna wadau wanasema GB 500 kwa mwezi then speed inashuka. Eneo lako hakuna Fiber?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…