B BABA BOMBASTIC Senior Member Joined Jul 10, 2024 Posts 146 Reaction score 246 Jan 11, 2025 #1 Habari Mwenye kuelewa kuhusu internet anisaidie nataka kununua airtel router sasa bando la chini ni 70000 ambayo ni mbs 10 sasa nataka niwekanofficine kwa ajili ya kudownload movies je itanifaa au speed yake iko chini
Habari Mwenye kuelewa kuhusu internet anisaidie nataka kununua airtel router sasa bando la chini ni 70000 ambayo ni mbs 10 sasa nataka niwekanofficine kwa ajili ya kudownload movies je itanifaa au speed yake iko chini
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 31,559 Reaction score 42,179 Jan 11, 2025 #2 Kama robo saa hivi kila movie speed yake, sema ina limit kuna wadau wanasema GB 500 kwa mwezi then speed inashuka. Eneo lako hakuna Fiber?
Kama robo saa hivi kila movie speed yake, sema ina limit kuna wadau wanasema GB 500 kwa mwezi then speed inashuka. Eneo lako hakuna Fiber?
Sax JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 3,578 Reaction score 6,740 Jan 11, 2025 #3 vp hutumii halotel?
N NOKE JF-Expert Member Joined Jan 24, 2023 Posts 201 Reaction score 408 Jan 11, 2025 #4 Chief-Mkwawa said: Kama robo saa hivi kila movie speed yake, sema ina limit kuna wadau wanasema GB 500 kwa mwezi then speed inashuka. Eneo lako hakuna Fiber? Click to expand... Fiber 👍
Chief-Mkwawa said: Kama robo saa hivi kila movie speed yake, sema ina limit kuna wadau wanasema GB 500 kwa mwezi then speed inashuka. Eneo lako hakuna Fiber? Click to expand... Fiber 👍
Nyamwage JF-Expert Member Joined Oct 16, 2020 Posts 712 Reaction score 1,748 Jan 11, 2025 #5 Doctor G said: vp hutumii halotel? Click to expand... Halotel wakoje
Sax JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 3,578 Reaction score 6,740 Jan 12, 2025 #6 Nyamwage said: Halotel wakoje Click to expand... kwa location yako mtandao upo vizuri au?
Odense JF-Expert Member Joined Nov 3, 2020 Posts 1,189 Reaction score 1,585 Jan 12, 2025 #7 Nunua ya voda hutojutia