Msaada

Uparo

Member
Joined
May 4, 2012
Posts
55
Reaction score
9
Wakuu naombeni msaada wa ushauri kwa mtaji wa tsh laki tatu naweza kufanya biashara gani yenye kulipa kwa mda mfupi hata kama ni ya uchuuzi kwani msingi wangu ndipo ulipo na namatumaini ya kuukuza pale nitakapopata biashara.nipo dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…