Professor of jungle
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 422
- 802
nimechaguliwa UDOM mwaka huu nimepewa na mkopo ila coz sijaipenda nimeshafanya na usaili nimelipa na baadh ya fees niliyohitaji kuchangia ila nataka niachane na chuo je mwakani application itakubali ? na mkopo nitapata?