jamani naomba msaada wa kutatuliwa hili tatizo langu'mm wakati wa kujaribu kufany mapenz lakin baadae nikaghair kufanya mbon kweny koro naumia naomba msaada.
jamani naomba msaada wa kutatuliwa hili tatizo langu'mm wakati wa kujaribu kufany mapenz lakin baadae nikaghair kufanya mbon kweny koro naumia naomba msaada.
Ni kwasababu umeitamanisha halafu hujaipa hiyo kitu. Hebu fikiria inakuwaje pale mtu unapomkuta anakula msosi wa kuvutia halafu hakukaribishi huwa inakuwaje?