habari zenu wana jf me nilikuwa naomba ushauri, nilimalza form six pcb mwaka jana na kupata div 3 ya point 14 malengo yangu yalikuwa kusomea udaktari ila kutokana na matokeo nilikosa chuo tcu wakanipangia bsc.physics udom tatzo hii kitu niliyopangiwa haiko damuni maana siko interest nayo maamuz ninayotaka kufanya ni kuomba diploma ya clinical officer nadhan njia.hii inaweza nifiksha kwenye malengo naomba mawazo yenu pia juu ya hili nawasilsha